Pages

Friday, 9 September 2022

Relative AMBA‐ and ‐O‐ of Reference “that, which, who”

There are two ways to construct the relative clause “that, which, who”

1.       Using amba-

2.      Using infix -o-

  

AMBA

-0-

Mtu ambaye alisoma

mtu aliyesoma

[the person who/that studied]

Watu ambao walisoma

watu waliosoma

[the people who/that studied]

Kiti ambacho kilianguka

kiti kilichoanguka

[the chair which/that fell]

Viti ambavyo vilianguka

viti vilivyoanguka

[the chairs which/that fell]

Mti ambao ulikatwa

mti uliokatwa

[the tree which/that was cut]

Miti ambayo ilikatwa

miti iliyokatwa

[the trees which/that were cut]

Gari ambalo linasafishwa

gari linaloshafishwa

[the car which/that is been cleaned]

Magari ambayo yanasafishwa

magari yanayoshafishwa

[the cars which/that are been cleaned]

 

 

 

       Noun class

“that, which, who”

1.      M-WA

Mtu ambaye

Watu ambao


2.     M-MI

Mti ambao

Miti ambayo


3.     JI-MA

Jina ambalo

Majina ambayo


4.    KI-VI [Cha-Vya]

Chakula ambacho

Vyakula ambavyo


5.     N

Nyumba ambayo

Nyumba ambazo


6.    U

Ukuta ambao

Kuta ambazo


7.     KU

Kusoma ambako

8.    PA, KU, MU

Pahali ambapo

Mahali ambako

Mahali ambamo

 

 Zoezi [Exercise 1]

Kikombe____________kimevunjika

Ambaye

Ambako

Ambacho

Ambalo


Viatu _________vimenunuliwa ni vyake

Ambavyo

Ambayo

Ambacho

Ambaye


Mwalimu _______atatufundisha

Ambaye

Ambao 

Ambayo

Ambalo


Kazi __________ anaifanya ni nzuri

Ambayo

Ambaye

Ambacho

Ambalo


Mgeni amba____atakuja ni waziri

lo

ko

ye

cho


Nyumba amba_____ itajengwa ni ya babu

ye

yo

ko

lo


Ukuta ______ulianguka

ambayo

ambaye

ambao

ambazo


Mti ___________ utakatwa ni wa babu

ambao 

ambaye

ambalo

ambacho


Mahali _________anasimama pamefagiliwa

ambamo

ambayo

ambako


Daraja __________ lilianguka limetengenezwa

ambazo

ambayo

ambalo

ambako


Nyumba amba____  imeanguka itajengwa

zo

ye

yo

lo


Chai amba___ itapikwa ni ya wageni

o

zo

yo

po


Wanyama amba__ wamepatikana ni wengi

ye

o

lo

zo


Exercise 2

Translate to Kiswahili in two ways; using ‘amba’ and ‘-o- reference.’

E.g., The child that is crying:    Mtoto ambaye analia

Mtoto anayelia

 

1.       The person who cooked is this one.

2.      The people who cooked are these ones.

3.      The chair that was sold is mine.

4.      The chairs that were sold are mine.

5.      The women who ran.

6.      The guests who arrived yesterday.

7.      The bus that picked him up.

8.     The house which will be sold tomorrow.

9.      The reading which was bad.

10.  The window which was cleaned.

 

No comments:

Post a Comment

Please leave your comment/question or suggestion.